Home
Unlabelled
Kilimanjaro stars yatua kampala tayari kwa Chalenji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ivi haya maumbo yetu jinsi yalivyo madogo hivi,maana unapomtazama mchezaji wa timu ya taifa kaumbo kadogooo,kaazi kweli kweli haya japo umbile si kigezo ila ni advantage wakati fulani.
ReplyDeleteMaumbo yetu baadhi ya Watanzania ni makubwa na ya shibe ila inaonekana wenye maumbo madogo na wafupi wanajua kujitutumua kama Kaseja.
ReplyDeleteTatizo ndilo hilo kwa klabu kuchagua wachezaji kwa vigezo vya kujitutumua na siyo kwa vigezo vya kuwa na timu bora iliyosheheni wachezaji kila idara na kuleta ushindi.
Mdau hapo juu ,unamjua Mesi ?au wachezaji wa Germany kama Reuss ambaye ni super star anachezea club ya Borussia Dortmund na wengineo kibao ,hivyo umbo sio kigezo cha kuchezea timu ya taifa.Big up ,mdau ughaibuni
ReplyDelete