Rais Jakaya Kikwete akinyanyua juu mfano wa hundi yenye thamani ya Sh8 bilioni aliyokabidhiwa na Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza wa tatu toka kusho zilizochangwa  na kundi la kampuni ya Vodafone na  Vodacom Tanzania kusaidia mradi wa fistula Tanzania ikiwemo ujenzi wa Hospitali ya huduma ya Afya ya uzazi ya Baobab chini ya CCBRT Hospital,jijini Dar es Salaam.  Chini  Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Bw.Rene Meza akisema machache wakati wa makabidhiano ya mfano wa hundi yenye thamani ya Sh8 bilioni aliyoikabidhi rasmi kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete fedha hizo zilizochangwa  na kundi la kampuni ya Vodafone na  Vodacom Tanzania kusaidia mradi wa fistula Tanzania ikiwemo ujenzi wa Hospital ya huduma ya Afya ya uzazi ya Baobab chini ya CCBRT Hospital,jijini Dar es Salaam.

Kwa mapicha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...