Nape Nnauye ,Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM akipiga gitaa kwa ustadi kabla ya ufunguzi wa kikao cha Kamati Kuu na NEC,leo Dodoma katika Makao Makuu ya Chama hicho.
 Mwenyekiti wa CCM Rais .Jakaya Mrisho Kikwete akivishwa skafu na Chipukizi wa CCM alipowasili Makao Makuu ya CCM Dodoma leo tayari kwa kikao cha kamati kuu katika ukumbi wa White Houes mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa meza kuu na viongozi wengine kabla ya akifungua rasmi kikao cha kamati kuu jioni hii mjini Dodoma. Picha na Adam Mzee

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. KWANINI KARUME HAPENDI KUVAA NGUO ZA CCM???!!

    LETENI MICHAPO WAZEE WA DATA!

    ReplyDelete
  2. Huyo ni SIMBA DAMU - kwa hiyo rangi hiyo inamchefua saaana. Na akizivaa PATACHIMBIKA!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...