Naima Shariff (kulia) akiwa na mpambe wake Vai kwenye Kitchen party yake iliyofanyikia Bethesda, Maryland, jana Jumamosi  November 10, 2012. Harusi itafanyika Tanzania December mwaka huu. Kwa picha zaidi za mnuso huu wa nguvu tembelea Blog dada ya Vijimambo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Wanaweza kupumua Kweli hawa na nguo zao hizo walizovaa.kuiga mhhhhh kubaya

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...