Ni msimu wa Nondozzzz na safari hii ni Mdau Saphia Rashard baada ya kulamba Nondozzz yake ya boashara kwenye mahafali yaliyofanyika ndani ya viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam siku ya Jumamosi.
Bi Saphia akiwa na my hazbendi wake mdau Mohammed Mbilili.
Bi Saphia akiwa na maswahiba ndani ya red carpet.





Hongera sana Bi. Sophia kwa Shahada !
ReplyDeleteTunahitaji mchango wako kwa elimu uliyoipata.