Ngoma ya 'Staying alive' ya Bee Gees ilitamba sana enzi hizo kwenye madisko hasa baada ya muigizaji John Travolta kutamba nayo kwenye sinema yake ya jina hilo iliyohusu mashindano ya disko. Viatu vyake vya kufikia ugokoni navyo vikapewa jina lake na kuleta raha ya aina yake. Yaani yanki wa enzi hizo usipovaa 'Travolta' ulikuwa haujakamilika.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mabraza men wazamani mi wananiua sana kwa style zao za nguo, zilikuwa poa sana sio kama za kwetu kata K. yaani ovyo kabisa. ankal weka picha yako ya enzi hizo tuoone mapigoz.

    ReplyDelete
  2. AKA Mabitozi, Ma-checkbob.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...