Wanamitindo wote wenye ndoto za kukuza vipaji vyao mnaombwa mjitokeze kwa wingi siku
ya tarehe 18/11/2012 siku ya jumapili saa nne asubuhi katika hoteli ya
Lamada iliyopo maeneo ya Ilala karibu na Msimbazi Center ili kufafanyiwa
usaili wa kupata tiketi ya kuingia UNIQUE MODEL a.k.a "gold room".
Ewe mwanamitindo usikose nafasi hii adimu ya kutimiza ndoto zako za kuwa mwanatindo maarufu na atakaepata dili kibao za mitindo ndani na nje ya nchi,jitokeze ni wakati wako sasa binti.Unique model 2012 imedhaminiwa na Giraffe ocean view hotel,Dtv,Gazeti la Tanzania Daima,mashujaa Investment ltd, Sophernner Investment co ltd,K.d.surelia,young don records,Kiu investment ltd,Oriental bureau de change,,J’s professional ltd,Lamada apartments hotel,wajanja club blog na Unique entertainment blog
Ewe mwanamitindo usikose nafasi hii adimu ya kutimiza ndoto zako za kuwa mwanatindo maarufu na atakaepata dili kibao za mitindo ndani na nje ya nchi,jitokeze ni wakati wako sasa binti.Unique model 2012 imedhaminiwa na Giraffe ocean view hotel,Dtv,Gazeti la Tanzania Daima,mashujaa Investment ltd, Sophernner Investment co ltd,K.d.surelia,young don records,Kiu investment ltd,Oriental bureau de change,,J’s professional ltd,Lamada apartments hotel,wajanja club blog na Unique entertainment blog
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...