Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akiendelea kuvutia maongezi mazito hata baada ya kutoa hotuba baada ya mkutano wa Jumuiya ya Waingereza na Tanzania katika ukumbi wa Central Hall, Westminster, London.

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amewahakikishia Watanzania na wageni  kwamba jitihada zitaendelea kufanywa na serikali kuboresha usafiri Bongo.
Akiongea mjini London juzi katika “mkutano wa mwaka” wa jumuiya ya Watanzania na Waingereza (Britain-Tanzania Society) na Mfuko wa Udhamini wa Maendeleo  (Tanzania Development Trust), alisema bado pana mengi sana ya kufanya toka ateuliwe miezi minne iliyopita.
Waziri Mwakyembe vile vile alifafanua kuhusu  majadiliano ya katiba mpya inayotegemewa  kutajwa mwaka 2015.

Kwa habari kamili na picha kibao 
toka kwa mdau Freddy Macha 


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...