Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akikagua gwaride la wahitimu wa mafunzo ya awali kozi namba 26 wa Chuo Cha Magereza Kiwira mkoani Mbeya.
Gwaride la wahitimu likipita mbele ya jukwaa kwa heshima.
Wahitimu wa mafunzo ya awali ya kozi namba 26 wa Chuo cha Magereza, Kiwira mkoani Mbeya wakionyesha uwezo wao wa kujihami wanapopambana na adui.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mbarak Abdulwakil akimkabidhi Jesca Simatya zawadi ya heshima kwa kuwa mwanafunzi bora kwa usafi chuoni hapo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. kumbe kina rambo tunao kibao tanzania haha wamarekani hawatuwezi tupo fiti.

    ReplyDelete
  2. Duhhh hili zoezi la kutembea katika Kamba ni la kuwapeleka Polisi hasa hawa wa Pikipiki wa tiGO !

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...