Mke Wa Rais Mama Salma Kikwete Akiwapungia Wageni Waalikwa Katika Hafla Fupi Ya Siku Ya Watoto Yatima.Iliofanyika Katika Viwanja vya ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Dar es Salaam leo. Ilio Fadhiliwa Na Twiga Cement Na Rotary Club Dsm Nrth (PCHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA).
Mke Wa Rais Mama Salma Kikwete Akisalimiana Na Mkukurugenzi Wa Twiga Cement Pascal Lesoinne Baada Ya Kuongea Na Wageni Waalikwa Waliofika Katika Hafla Hiyo.
Mke Wa Rais Mama Salma Kikwete Akirusha Mshale Kwenye Maputo Ishara ya Uzinduzi ya Siku ya Watoto Yatima Iliofanyika Katika Ofisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Dar es Salaam leo.
Baadhi ya watoto Hao Wakiwa katika hafla hiyo.
Mke Wa Rais Mama Salma Kikwete Akijadili jambo Pamoja Na Walezi Na Watoto Hao Katika Hafla Fupi Ya Siku Ya Watoto Yatima.Iliofanyika Katika Ofisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Dar es Salaam leo. Ilio Fadhiliwa Na Twiga Cement Na Rotary Club Dsm Nrth

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. HONGERA SANA FIRST LADY UNAFANYA KAZI NZURI SANA.PIA UMEPUNGUZA MWILI UMEPENDEZA SANAA.

    ReplyDelete
  2. hongera mama. Napenda unavyotunza ngozi yako ipo ya asili kabisa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...