Waziri wa ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe Shamsi Vuai Nahodha akiwa katika picha ya pamoja na maofisa waandamizi  42 wenye vyeo vya meja hadi kanali wa nchi za ukanda wa afrika mashariki  na nchi za jumuiya ya maendeleo kusini mwa Afrika SADC  pamoja na viongozi mbalimbali wa jeshi mara baada ya kuhitimu mafunzo ya unadhimu katika chuo cha ukamanda na unadhimu (CSC) Arusha leo. Picha na Woinde Shizza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...