Marehemu Seleman Shamte Mbonde
aka Solomon Mark Kamanzi
---
Familia ya Shamte Mbonde insikitika kutangaza kifo cha mwanao mpendwa Seleman Shamte Mbonde almaarufu Mark Solomon Kamanzi kilicho tokea nchini Portugal 1 Desemba 2012.
Taratibu za kusafirisha mwili wa marehemu kurudi nyumbani kwake UK zinafanyika. Taratibu za mazishi zitafanyika mara mwili utakapo wasili nchini UK.
Msiba upo nyumbani kwa marehemu
110 Kursaal Way,
Flat 30 Mirror Steps
SS1 2YX
Ili kufanikisha safari yake ya mwisho wa maisha yake tunaomba msaada wako kupitia Account zifuatayo:
NAME: O Mtambo
ACCOUNT NUMBER: 03625435
SORT CODE: 20-79-73
BANK: Barclays
AU
NAME: Mr. Ahmed K Mohamed
ACCOUNT NUMBER: 46888468
SORT CODE: 30-79-84
Kwa maelezo zaidi wasiliana na:
Ahmed: 07536590033
Othman: 07960768910
ASANTENI NA MUNGU AWABARIKI
Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...