Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Taifa (NSSF) Kahama, Omari Mziya (kulia), akikabidhi hundi ya Milioni 2/- kwa Meneja Mkuu wa Mgodi wa Dhahabu wa African Barrick Gold (ABG) Bulyanhulu, Dennis Hoof ikiwa ni moja ya udhamini ya mfuko huo katika kufanikisha Siku ya Wanafamilia ya mgodi huo, iliyofanyika mgodini wilayani Kahama juzi. NSSF pia ilitoa jumla ya T-shirts 200.
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Taifa (NSSF) Kahama, Omari Mziya akizungumza kabla ya kukabidhi hundi.
Afisa Mwandamizi wa NSSF Kahama, Lusajo Enest (kushoto), akitoa elimu kuhusu mafao mbalimbali yanayotolewa na mfuko huo kwa wafanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu wakati wa Siku ya Wanafamilia.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...