Balozi wa Nigeria hapa nchini Dr Ishaya Majanbu mweyekofia nyekundu akiwa anapata maelezo kutoka kwa meneja wa mradi wa ujenzi wa Dangote Sementi Mkoani Mtwara Eng D Musale  ya kuhusu maendeleo ya ujenzi wa kiwanda cha semeti cha Dangote kinacho jengwa Mkoani Mtwara Balozi huyo ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi huo alipotembelea mkoani mtwara. picha na Chris Mfinanga.
 Balozi akiwa ana angalia badhi ya vifaa vilinavyo tumika katika mradi wa ujenzi wa kiwanda hicho cha sementi kunacho jengwa na kampuni ya Dangote.
Balozi wa Nigeria hapa nchini Dr Ishaya Majanbu akiwa katika soko la Mtwara akiangalia mchele bidha mbalimbali zinazo patikana katika soko hilo wafanya biashara wasoko hilo walipata muda wa kumsomea tarifa yao ya kumuomba amfikishie mkrugenzi mkuu wa Dangote ili aweze kuwasidia kulifanya soko hilo liwe la kisasa.
 Balozi akiwa katika picha ya pamoja na wafanya biashara wa soko la mtwara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...