Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Huduma ya TEHAMA Bw.Priscus Kiwango akiwasilisha mada ya Mfumo Shirikishi wa Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS) alipofanya ziara ya kikazi ya Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma jana.
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kulia) akipokea nyaraka mbalimbali za kiutumishi kutoka kwa Kaimu Katibu Mkuu ,Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.HAB Mkwizu alipofanya ziara ya kikazi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Ushauri na Uchambuzi Kazi Bw.Micky Kiliba alipokuwa akiongelea masuala mbalimbali ya kiutumishi wakati wa ziara yake Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma jana
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kulia) akiongea na watumishi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma alipofanya ziara ya kikazi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma jana
Watumishi wa Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma wakimsikiliza Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue alipofanya ziara ya kikazi Ofisi ya Rais,Menejimenti ya Utumishi wa Umma jana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...