Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. nimependa sana hiki kipindi ila mtu mmoja anapoongea wapeane nafasi.ili kusiwe na kelele.halafu wanapo zungumza kuhusu nchi wazungumzie kwa ujumla.halafu wanapo toa mada za kuhusu mtanzania watofautishe mtanzania wa manzese uswahilini,buguruni,keko,ilala.halafu mbezi kimara mbezi beach,kunduchi,mikocheni.hizi sehem zote watu wanaishi kwa kutofautiana kipato.na malezi pia hayafanani.nimesema hivi sababu mada iliyopita walisema ukienda tanzania kila mtu anakuomba hela kuanzia babu mpaka mjukuu sikweli mimi nilipo toka usithubutu kusema umetoka ulaya utaibika bora ukae kimya.ni hayo tu watofautishe.

    ReplyDelete
  2. Mimi wananifurahisha kwa kusema yale ambayo hapo awali yalikuwa hayasemwi kuhusu uhalisia wa maisha ughaibuni.

    Ila kama ni kweli wa TZ hamshirikiani,hilo nalo neno!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...