Mkurugenzi Msaidizi idara ya Uratibu wa Kesi, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Ayubu Mwenda (wa kwanza kulia) akimsikiliza Bw. Jack Titsworh kutoka STAR Initiative wakati wa mafunzo ya kufilisi mali zilizotokana na uhalifu yaliyofanyika jijini Dar es salaam leo
Mkurugenzi wa Mashtaka Dkt. Eliezer M. Feleshi (katikati waliokaa) kwenye picha ya pamoja na Maafisa wa wizara na idara za serikali(waliosimama) waliohudhria semina ya mafunzo ya kufilisi mali zilizotokana na uhalifu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...