Mtaalam wa masauala ya kufilisi mali na vitendea kazi vilivyotokana na uhalifu kutoka Afrika ya Kusini Bi. Hermione Cronje akitoa mada kwa maafisa wa idara mbalimbali za Serikali walioshiriki semina hiyo jijini Dar es saloaam  leo
Mkurugenzi Msaidizi idara ya Uratibu wa Kesi, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Ayubu Mwenda (wa kwanza kulia) akimsikiliza Bw. Jack Titsworh kutoka STAR Initiative wakati wa mafunzo ya kufilisi mali zilizotokana na uhalifu yaliyofanyika jijini Dar es salaam leo
Mkurugenzi wa Mashtaka Dkt. Eliezer M. Feleshi (katikati waliokaa) kwenye picha ya pamoja na Maafisa wa wizara na idara za serikali(waliosimama) waliohudhria semina ya mafunzo ya kufilisi mali zilizotokana na uhalifu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...