Mmoja wa Wasanii wa Muziki wa Kizazi Kipya walioshiriki shindano la kuimba la Epiq Bongo Star Search pichani shoto,Walter akionesha umahiri wake wa kuimba akiwa sambamba na msanii mwingine wa bongofleva ajulikanae kwa jina la Ben Paul,kwenye onesho lao la pamoja lililofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa Club Maisha mkoani Dodoma.
Mmoja wa Wasanii wa Muziki wa Kizazi Kipya walioshiriki shindano la kuimba la Epiq Bongo Star Search pichani shoto,Wababa akipongezwa na mmoja wa mashabiki waliofika kushuhudia onesho lao la pamoja lililofanyika mwishoni mwa wiki kwenye ukumbi wa Club Maisha mkoani Dodoma.
Mmoja wa Wasanii wa Muziki wa Kizazi Kipya walioshiriki shindano la kuimba la Epiq Bongo Star Search pichani,Husna akiwapagawaisha mashabiki (hawapo pichani),kwenye onesho lao la pamoja lililofanyika mwishoni mwa wiki kwenye ukumbi wa Club Maisha mkoani Dodoma. 
Mmoja wa wasanii mahiri wa bongofleva,Barnaba akiwaimbisha mashabiki wake( hawapo pichani) waliofika kushuhudia wakali wa Epiq Bongo Star Search walipofanya onesho lao la pamoja lililofanyika mwishoni mwa wiki kwenye ukumbi wa Club Maisha mkoani Dodoma.
Pichani ni baadhi ya mashabiki wakifurahia burudani nzuri iliyokuwa ikitolewa na wasanii walioshriki shindano la Epiq Bongo Star Search,lililofanyika mwishoni mwa wiki kwenye ukumbi wa Club Maisha mkoani Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...