Mmoja wa Wasanii wa Muziki wa Kizazi Kipya walioshiriki shindano la kuimba la Epiq Bongo Star Search pichani shoto,Walter akionesha umahiri wake wa kuimba akiwa sambamba na msanii mwingine wa bongofleva ajulikanae kwa jina la Ben Paul,kwenye onesho lao la pamoja lililofanyika mwishoni mwa wiki  katika ukumbi wa Club Maisha  mkoani Dodoma.
 Mmoja wa Wasanii wa Muziki wa Kizazi Kipya walioshiriki shindano la kuimba la Epiq Bongo Star Search pichani shoto,Wababa akipongezwa na mmoja wa mashabiki waliofika kushuhudia onesho lao la pamoja lililofanyika mwishoni mwa wiki  kwenye ukumbi wa Club Maisha  mkoani Dodoma. 
 Mmoja wa Wasanii wa Muziki wa Kizazi Kipya walioshiriki shindano la kuimba la Epiq Bongo Star Search pichani,Husna akiwapagawaisha mashabiki (hawapo pichani),kwenye onesho lao la pamoja lililofanyika mwishoni mwa wiki  kwenye ukumbi wa Club Maisha  mkoani Dodoma. 
 Mmoja wa wasanii mahiri wa bongofleva,Barnaba akiwaimbisha mashabiki wake( hawapo pichani) waliofika kushuhudia wakali wa Epiq Bongo Star Search walipofanya onesho lao  la pamoja lililofanyika mwishoni mwa wiki  kwenye ukumbi wa Club Maisha  mkoani Dodoma. 
Pichani ni baadhi ya mashabiki wakifurahia burudani nzuri iliyokuwa ikitolewa na wasanii walioshriki shindano la Epiq Bongo Star Search,lililofanyika mwishoni mwa wiki  kwenye ukumbi wa Club Maisha  mkoani Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...