Watani wa jadi hawa walio maeneo ya Kibamba, barabara ya Morogoro road, walikamatwa na kamera ya Globu ya Jamii mwaka jana mwezi kama huu. Leo bado wapo bega kwa bega katika kuonesha ukomavu wa kisiasa. Hata hivyo bendereza zao zinaonekana kuchoka na bila shaka wahusika wataliangalia hilo kwa herufi kubwa....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hapo Makada wa Vyama vyote pesa walipewa kubadilisha Bendera wamesha zitwanga wanangoja Kipindi kingine cha Uchaguzi!

    Si bendera hizo hadi mpaka 2015 zitafikia kuwa kama vyandarua?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...