Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akizungumza jambo na Balozi wa India nchini, Debnath Shaw. Balozi na waziri huyo walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya ubalozi huo na wizara.
Balozi wa India nchini, Debnath Shaw (kulia) akimkabidhi zawadi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi wakati balozi huyo alipofanya ziara ya kikazi wizarani hapo, jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...