Mabango mbalimbali yameenezwa kila mahali katika mji wa Moshi. Mashindano hayo ya kila mwaka yanafanyika kesho March 3, 2013.
 Misururu ya magari si kawaida katika mji wa Moshi lakini kutokana na heka heka za Kilimanjaro Marathon hali hiyo imeanza kuonekana hasa katika maeneo ya katikati ya mji.
 Maandalizi ya jukwaa la burudani
 Uandikishaji ukiendelea katika hotel ya Keys
Uandikishaji ukiendelea katika hotel ya Keys. Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. nawaona makamanda kazini kama kawaida...peoples!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...