Mabango mbalimbali yameenezwa kila mahali katika mji wa
Moshi. Mashindano hayo ya kila mwaka yanafanyika kesho March 3, 2013.
Misururu ya magari si kawaida katika mji wa
Moshi lakini kutokana na heka heka za Kilimanjaro Marathon hali hiyo
imeanza kuonekana hasa katika maeneo ya katikati ya mji.
Maandalizi ya jukwaa la burudani
Uandikishaji ukiendelea katika hotel ya Keys
Uandikishaji ukiendelea katika hotel ya Keys. Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi.


nawaona makamanda kazini kama kawaida...peoples!!!!
ReplyDelete