Ankal akiwa katika mazishi ya mwanachama mwandamizi wa Klabu ya Saigon ya jijini Dar es salam Marehemu Mrido aliyefariki juzi. Marehemu, aliyezikwa leo mchana katika makaburi ya Mwinjuma, Magomeni, jijini Dar es salaam huku mvua kubwa ikinyesha, atakumbukwa kuwa mmoja wa wanachama wakereketwa wa Yanga na pia mlezi wa timu ya mpira wa miguu wa vijana wa enzi hizo wa Kariakoo ya Jugnu Mehu iliyokuwa kama Yosso ya Saigon wakati Mchikichi Boys ilikuwa mdogo wa Jugnu
 Jeneza likitolewa kwa ajili ya mazishi yaliyohudhuriwa na vijana na wazee wa mjini pamoja na wanachama wa Klabu ya Saigon
 Waombolezaji kaburini
Viongozi wa Klabu ya Saigon wakisimamia mazishi hayo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Makaburi ni ya Mwinyimkuu Mshindo,Magomeni Mapipa,Wilaya ya Kinondoni,DSM.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...