Mshiriki Ally Zuberi akichana mistari.
Arnold Mathias akichana mistari kivyake.
Bahati Charles akiwaonyesha majaji kipaji chake.
Boniface Mirumbe akilishambulia jukwaa.
Cosmas Milanzi akiwa ‘amejaa kujiamini’.
Washiriki shindano la Miss Utalii Taifa wakifuatilia The King Mic kwa makini.
Majaji Abdallah Mrisho (kushoto) na Ali Baucha wakiwa makini kufuatilia shindano hilo.
Mhudumu wa Dar Live akifuatilia shindano hilo kwa utulivu.
Baadhi ya warembo wa Miss Utalii wakiserebuka.
Pozi la warembo wa Miss Utalii.


SHINDANO la The Mic King limezidi kupamba moto ndani ya ukumbi wa Dar Live ulioko Mbagala-Zakhem, jijini Dar es Salaam, jana Jumapili ambako washiriki 11 walitoana jasho katika  kuonyesha umahiri wa kuchana mistari ya hip hop.
Shindano hilo lilihudhuriwa na warembo watakaoshiriki shindano la Miss Utalii Taifa ambao wanafanya mazoezi ndani ya ukumbi huo. 
PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY / GPL

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...