SHINDANO la The Mic King limezidi kupamba moto ndani ya ukumbi wa Dar Live ulioko Mbagala-Zakhem, jijini Dar es Salaam, jana Jumapili ambako washiriki 11 walitoana jasho katika kuonyesha umahiri wa kuchana mistari ya hip hop.
Shindano hilo lilihudhuriwa na warembo watakaoshiriki shindano la Miss Utalii Taifa ambao wanafanya mazoezi ndani ya ukumbi huo.
PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY / GPL
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...