Naibu Katibu Mkuu Ikulu Mama Suzana Mlawi na Mkurugenzi wa Huduma Ikulu Bw. Julius Mogore, leo Machi 1, 2013 wameongoza shughuli za usafi kuzunguka maeneo ya Ikulu jijini Dar es salaam katika kuadhimisha Siku ya Mazingira Afrika. Siku hiyo itaadhimishwa kitaifa siku ya Jumapili.
Wafanyakazi wa kila kada bila kujali wadhifa wanafanya kazi bega kwa bega kuhitimisha Siku ya Mazingira Afrika kwa kufanya usafi
Kazi ikiendelea kwa tabasamu
Kila mtu alitoka ofisini na kushika ufyagio
Kazi nzuri...
Hivi City Council inafanya kazi gani? Maana haya mambo ya wafanyakazi kujitolea kufanya usafi inaonyesha dhairi kuwa serikali haitoi ajira za wafanya usafi au labda city council imeshindwa kazi!
ReplyDeletemngekuwa mnafanya hivyo kwa wiki mara moja,ingependeza zaidi waheshimiwa
ReplyDelete