WESTERN JAZZ BAND NA NGOMA YAO YA 'VIGELEGELE' WALIKUWA HAWANA MSHINDANI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Wewe Ankal mshenzi wa tabia, hii kitu ilikuwa wapi siku zote hizo? Umenimaliza kaka.

    ReplyDelete
  2. Weraa ankal haya ndo mambo tunayotaka bwana.
    Fanya utuletee Veronika..oohh veronika mama eeh. Jamaa anatambua Veronika ni mgeni sana maeneo ya Dar. Wachaaaa

    ReplyDelete
  3. Ahsante Uncle hii kitu inanikumbusha marehem kaka yangu alikuwa anamuimbia mdago wetu akilia mpaka ana nyamaza, masikini M.mungu amrehem kaka yangu! hadi nimelia kwa kweli.

    ReplyDelete
  4. Nakumbuka miaka ya tisini kulikua na sherehe sinza nyuma ya lion hotel, ktk ofisi ya CCM, wacha bwana, kulikua na mzee mmoja alikua anayarudi kinoma ulipopigwa wimbo huu.Masikini nilitamani sana nimuone tena yule mzee lakini sikupata bahati.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...