Watanzania wanaoishi New Jersey na New York City. Wanasikitika kutangaza kifo cha Mtanzania mwenzao Adolph aka Brian aka Thadeo Lwakajende kilichotokea tarehe 24 mwezi wa 4, 2013 hapa New Jersey, USA. Mipango ya kusafirisha mwili wa marehemu inaendelea huko New Jersey. Ili kufanikisha mipango hiyo wanawaomba watanzania wote popote pale walipo wajiunge nao kusaidia kuchangisha hela za shughuli hiyo. Unaweza kutuma hela kwa kutumia paypal adolffuneralcost@gmail.com au katika site hii ya Adolf sending home fund http://dt.tl/adolfsendhomecost


Kwa mawasiliano ya shughuli hizi wasiliana na 

Peter Luangisa (917) 681-6971

Rashidi Kamugisha (973) 703-4596

Bernard Kivugo (973) 580-7166

William Vedasto (973) 551-2916

Tunatanguliza shukurani zetu za dhati.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Adolph Katagira, kwaheri.

    ReplyDelete
  2. R.I.P Adolph.
    Poleni sana wafiwa. Naona mwaka kuna kosa la uhandishi kwenye mwaka.

    ReplyDelete
  3. Jamani! This is too sad. Mungu ipuzishe roho ya huyu kijana Mdogo. Rest in peace mdogo wangu.

    ReplyDelete
  4. R.I.P Adolph.

    Watanzania wenzangu mliopo ughaibuni jiungeni na NSSF Westadi ili mitihani kamaa hii ikiwafika muepukane na kupitisha michango.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 06, 2013

    Ndugu uliyeongelea NSSF, umesema la maana, lakini nadhanini bora kujiunga na insurance za nchi za nje huku huku ambazo zinaweza kuwa na uhakika zaidi, kama vile kujibu simu na kushughulikia matazizo haraka.

    Mpaka hivi sasa mimi nimejaribu miezi sita kupata information za hizo NSSF insurance kutoka ubalozini na hazipatikani kirahisi, je nikifa?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...