Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda leo amekutana na Makamu wa Raisi na Mwenyekiti mtendaji wa kampuni ya BG Group ya Afrika mashariki Bwana Sam Iskander yeye na maofisa aliokuwa anawaongoza walikuwa na mazungumzo ya kikazi na waziri mkuu ofisini kwake Magogoni Dar es salaam.Picha na Chris Mfinanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...