Balozi Dkt. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye tai ) akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Wereld Missie Hulp Peter Houlleberghs na Ilona De Coster Mkurugenzi Msaidizi. Balozi Kamala ametembelea Taasisi hiyo yenye makao makuu Antiwerpen Belgium kuiomba kushirikiana na Tanzania katika harakati za kupambana na umaskini na kufikia malengo ya milenia. Taasisi hiyo imekubali ombi la Dkt. Balozi Kamala.
Home
Unlabelled
Balozi Dr. Kamala akutana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Wereld Missie Hulp
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...