Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bi.Juliet Kairuki akizungumza na wafanyakazi wa kituo hicho jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki alipowasili kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kushika wadhifa huo na Rais Dkt. Jakaya Kikwete hivi karibuni.
Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bi.Juliet Kairuki akiwa ameshilia maua aliyokabidhiwa na wafanyakazi wa kituo hicho jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki alipowasili kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kushika wadhifa huo na Rais Dkt. Jakaya Kikwete hivi karibuni.
Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC), Bi.Juliet Kairuki akimsikiliza Mkurugenzi wa Utawala na Fedha, Bi. Beatrice Chonjo (kulia) akimpa maelezo mafupi ya kituo kabla ya kuzungumza na wafanyakazi wa kituo hicho jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki alipowasili kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe kushika wadhifa huo na Rais Dkt. Jakaya Kikwete hivi karibuni.Wengine ni Mkurugenzi wa Huduma, Bi. Senzie Nakuala, Mkurugenzi wa Mifumo ya Habari na Mawasiliano, Dkt. John Kyaruzi na Meneja wa PPP, Bwana Said amiri.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 05, 2013

    mashallah

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 05, 2013

    Congratulations Juliet and may The Lord guide you in this new carrier. Stay blessed. Selina

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 06, 2013

    mrembo lazima tusifu , pia mtendaji mzuri

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 07, 2013

    anafanana sana na Lilian wa Mengi ni ndugu yake? dada mrembo sana. Hongera

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...