Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 30, 2013

    Vipi kuhusu Gharama za Vita dhidi ya Malawi mbona sijaziona ktk Bajeti yenu?

    Mlitakiwa mtufafanulie Watanzania ni vipi gharama za kutetea umiliki wa sehemu ya Ziwa Nyasa inapangwa?

    Ijulikana kati ya haya mawili:

    1.Kuendesha Kesi kwa kutenga fungu la gharama ya Kesi ya Madai za Ziwa yanayofikishwa na Malawi kwenye Mabaraza mbalimbali duniani na Kampeni zao ktk mchakato huo.

    2.Kuendesha Harakati ikibidi kutumia Ujasusi au hata Vita, wacha tulaumiwe lakini tuyatetee maisha ya Watanzania ktk ufukwe wa Ziwa Nyasa kwa gharama yoyote ile.

    Mpange Bajeti ya Wizara kwa hayo Matumizi ya Ofisi za Ubalozi nje lakini Suala tete la hii Kesi ya Ziwa Nyasa linahitaji pia fungu la kutosha ili tuweze kufikia lengo!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...