Meneja Uhusiano Mfuko wa PPF Bi Lulu Mengele akimweleza Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete jinsi mfuko huo unavyosaidi kuendeleza kielimu watoto wa wanachama waliofariki wakati Rais alipokuwa akitembelea mabanda mbalimbali ya mifuko ya Hifadhi za jamii hapa nchini wakati wa kilele cha maadhimisho ya wiki ya Mifuko ya Hifadhi ya jamii yanayofanyika mjini Dodoma.Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw. William Erio. Picha na Freddy Maro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 18, 2013

    hivi hivyo vipaza sauti vya hapa na hapa, rais anapona masikio kweli?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...