Wssukuma na Nyoka wao...Mambo ya Bujora haya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 25, 2013

    Haya Mwanamaduhu Msukuma wa Mujini Darisalama utauweza huo Mchezo?

    Utalimudu Joka hadi kinywani mwako?

    Ngosha, Mwanamaduhu, Shija unaeshinda kutwa ktk Migahawa ya Jijini Dar ukinywa Soda, Chips Mayai, Juisi na Keki kwa Mabagaz ukienda kwenu Malampaka kuchumbia ukapewa mashariti ya kucheza na Chatu Ukweni kwanza siku ya kupeleka Barua ya Posa utamudu?

    Au utakodi Majeshi?

    Utatumia Usanii gani kukodi Majeshi wakati wewe muhusika Mposaji ndio unatakiwa ukishuhudiwa na Wakwe watarajiwa ucheze na Joka?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...