Mpira ni mpumziko katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam huku Yanga wakiendelea kuongoza kwa bao 1-0 lililofungwa dakika ya sita kipindi cha kwanza na mshmbuliaji Didier Kavumbagu. Simba ilipata penati dakika ya 28 na mpigaji Mussa Mudde akakosa kwa kupiga kizemba.

 Mchezo kipindi cha kwanza ulikuwa ni wa vuta nikuvute, lakini Yanga walitawala hasa sehemu ya kiungo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 19, 2013

    misupu kaka ttttooooooooooo much of soccer stuff! weka mbili tatu na tupe mpya nyingine

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...