Mwenyekiti wa chama cha Pool Mkoa wa Mbeya, Aron Samweli (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo vya mashindano ya Safari Lager Pool Higher Learning Mkoa wa Mbea .Kulia ni Makamu Mwenyekiti , Obmark Malebeja.
Mwenyekiti wa chama cha Pool Mkoa wa Mbeya, Aron Samweli (kulia) akimkabidhi tisheti mwanafunzi wa Chuo cha TIA Mkoani Mbeya,Steven Kiasi kwa ajili ya mashindano ya Safari Lager Pool yanayotarajiwa kuafanyika jumapili. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...