Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akizungumza machache muda mfupi kabla ya kuendesha harambee ya kuchangia maendeleo ya Willaya mpya ya Nyasa iliopo Mkoani Ruvuma,katika hafla iliyofanyika kwenye Viwanja vya Msimbazi Centre,Ilala jijini Dar es Salaam.
Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi,Mh. John Komba akizungumza machache juu ya Wilaya hiyo mpya wakati wa harambee ya kuchangia maendeleo ya Willaya mpya ya Nyasa iliopo Mkoani Ruvuma,katika hafla iliyofanyika kwenye Viwanja vya Msimbazi Centre,Ilala jijini Dar es Salaam.Mh. Komba ndio Mwenyeji wa harambee hiyo akishirikiana na Kamati ya Maendeleo ya Wilaya ya Nyasa.
Mbunge wa Moshi Vijijini (CCM), Dk. Cyril Chami (katikati) akitoa ahadi yake ya kuchangia harambee hiyo.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akizungumza na Prof. Mbele wakati wa harambee ya kuchangia maendeleo ya Wilaya mpya ya Nyasa.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 03, 2013

    Hongera sana, namuona dogo mpambe wa Dr. Chami naye pembeni akipata uzoefu, wa kisiasa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...