Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 06, 2013

    Shughuli nzima ya harusi ni kazi tosha kwa bibi harusi, ukizingatia pengine bi harusi ni muajiriwa inabidi aombe siku chache tu kazini, na hata hivyo siku za mwisho mwisho bi harusi hupata mawazo na kiwewe jinsi ya kufanikisha shughuli yenyewe,, plus jinsi atakavyoishi maisha mapya na mumewe na familia yake. sasa huo muda wa ku-rehearse kwa ajili ya harusi kwa namna hii kwa Tanzania upo kweli? Harusi za kitanzania bibi harusi anavaa,kutembea kuongea, kula, kunywa na kucheza elegantly mbele ya kadamnasi, hii ya hawa wenzetu tutaiweza kweli, ama tayari imeshaanza kuingia katika maharusi yetu siku hizi. Sijahudhuria harusi ya kitanzania for 5+ years hivi, kwa hiyo huenda niko under-informed.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 07, 2013

    I LOVE NIGER WEDDINGS JAMAN

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...