Unapozungumzia mchezo wa ngumi au ndondi nchini ujerumani
Jina la Bondia wa kike mwafrika Bintou Yawa Schmill a.k.a "The Voice"
ndiye anayemudu uringo "Boxing Ring" na kulipeperusha bara la
Afrika ughaibuni.
Bondia huyo kike Bintou Yawa Schmill mwenye maskani kule
Drackenburg nje kidogo ya mji wa Bremen,amekuwa kivutio kwa
washabiki wa kimataifa na tishio kwa wapinzani wake anapokuwapo
ulingoni.
Boxer Bintou Yawa Schmill mzaliwa wa Togo mwenye makao yake
nchini ujerumani alianza kucheza ngumi akiwa na umri mdogo
na kushinda mara 14 katika mashindano 24 na mara 4 K.O ,katoka
draw mara 2 uzito wa Walterweight 63.5 Kg, katika ngumi za ridhaa.
Kuanzia mwaka 2007 Boxer Bintou Yawa Schmill a.k.a "The Voice"
aliamua kucheza kungumi za kulipwa na tyari amepigana na kushinda professional Record 4 na Ushindi wa K.O
mara 3. Boxer Bintou Schmill kwa sasa kajiandaa kupambambana na bondia
yeyote yule wa kike na mahala popote duniani.
Ankal naomba namba ya huyu demu. Nataka nianzishe uchumba.Samahani natanian tu asije akaanifanya gunia la mazoezi, lishe wenye ugali tembele.
ReplyDeleteAnony wa No.1
ReplyDeleteAnasema alikuwa anatania tu ! utani wenyewe unaonyesha jinsi gani ? fikira za baadhi ya wengi wetu tulivyo jawa na upimbi upimbi ulichanganyika na wingi wa mawazo finyu,baadala ya kufikiria nasi dada zetu tutawafikisha vipi kiwango cha juu kimichezo