Tizama jinsi utamaduni wetu wa ngoma na nyimbo za jadi zinavyoweza kufurahisha si sisi Watanzania tu bali hata wageni ughaibuni wanapandisha mizuka wakisikia na kutoa vitu asili vya kitamaduni kama kitu hii kilichowapelekesha wadau wa nje puta kweli. Hakika mkataa kwao mtumwa , kaa tutizame mdau Lyamba Kauzeni akifanya vitu vyake huko Croatia
Home
Unlabelled
Mkataa kwao mtumwa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
pongezi na hongera saana!!!! kwa kuirusha vilivyo nchi yetu popote ulipo au walipo Watanzania. mdau hollad.
ReplyDeleteKazi njema Kauzeni.
ReplyDelete