Naibu Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa, Dk. Asha Rose Migiro akimkabidhi cheti, Ofisa Utawala Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Yussuf Mmanga, kwa kutambua mchango wa Shirika la hilo katika kufanikisha matembezi ya hisani ya ‘Step Ahead’ kwa ajili ya kusaidia afya ya mama na mtoto yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Barclays, Kihara Maina. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...