Dk. Yasinta Shobola akimchukuwa vipimo, Mbunge wa Mfindi Kusini(CCM), Mendrad Kigola wakati wa zoezi la kupima  afya kwa wabunge lililoendeshwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Viwanja vya ukumbi wa Bungeni Mjini Dodoma.
Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF), Said Bungala (kulia) akipima macho wakati wa zoezi la kupima  afya kwa wabunge lililoendeshwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Viwanja vya ukumbi wa Bungeni Mjini Dodoma.
Mbunge wa Mufindi Kusini (CCM), Mendrad Kigola akipima macho wakati wa zoezi la kupima  afya kwa wabunge lililoendeshwa na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) katika Viwanja vya ukumbi wa Bungeni Mjini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...