Kiongozi wa Wanafunzi kutoka Chuo Kikuu Mzumbe (MU) akipokea cheti cha Shukrani kutoka kwa Mgeni Rasmi Katibu Tawala Msaidizi Menejementi ya Serikali za Mitaa, Noeli Kazimoto wakati wa kilele cha shindano la Wanafunzi la Excel with Grandmalt 2013 mkoani Morogoro mwishoni mwa wiki. Katikati ni Meneja wa Kinywaji cha Grandmalt, Consolatha Adam.
Kaimu Mshauri wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kilomo Sokoine (SUA), Lydia Bupilipili (kushoto) akipokea cheti cha Shukrani kutoka kwa Mgeni Rasmi Katibu Tawala Msaidizi Menejementi ya Serikali za Mitaa, Noeli Kazimoto wakati wa kilele cha shindano la Wanafunzi la Excel with Grandmalt 2013 mkoani Morogoro mwishoni mwa wiki. Katikati ni Meneja wa Kinywaji cha Grandmalt, Consolatha Adam.

Washindi mbalimbali wa Shindano la Excel With Grandmalt 2013 kutoka Chuo Kikuu Mzumbe wakipiga picha ya pamoja huku wakiwa wameshikilia zawadi zao za fedha wakati wa kilele cha mashindano hayo kwa vyuo vya viwili vya Mzumbe na Sokoine mkoani humo mwishoni mwa wiki.
Washindi mbalimbali wa Shindano la Excel With Grandmalt 2013 kutoka Chuo Kikuu Cha Kilimo Sokoine (SUA) Morogoro, wakipiga picha ya pamoja huku wakiwa wameshikilia zawadi zao za fedha wakati wa kilele cha mashindano hayo kwa vyuo vya viwili vya Mzumbe na Sokoine mkoani humo mwishoni mwa wiki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...