Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Bi. Juliet Kairuki (kushoto) akimsikiliza kwa makini mmoja wa maafisa wa juu toka muungano wa makampuni ya Dangote, Bw. DVG Edwin mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.  Baadhi ya maafisa wa kampuni hiyo kubwa barani Africa walikua nchini kwa ziara ya kikazi.  Kampuni hiyo inaendelea na ujenzi wa kiwanda kikubwa cha simenti mkoani Mtwara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...