Mdau Leonora wilson ndesanjo akipozi baada ya kula nondozzz ya
BA Hons Human Resource Management Chuo kikuu cja  Glamorgan University,  Cardiff UK
 Leonora akiwa na rafiki yake Sim Joseph baada ya kula nondozzz pamoja
Leonora akiwa na baba na mama
  Kushoto ni ndugu yake Donald ambaye naye kala no nondozzz hivi  karibuni wa pili ni mama mzazi Florence Wa tatu Leonora mwenyewe na wa nne ni Baba Wilson Ndesanjo
Kulia Bw. Ian Banks mume wa mama yake mdogo Leonora wa nne Diane May akiwa na watoto wake Adrian Na Raell na wa pili na watatu ni Bw. na Bi. Wilson Ndesanjo na wa tano Leonora na rafiki yake Sim Joseph wa Uk waliokula nondozzz pamoja na familia yake

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Congratulations Leonora and Donald, love Mr. Neilson (Former LIS Teacher)

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 25, 2013

    huyo rafiki wa Leonora "sim joseph" kasimama...!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 25, 2013

    Hongera sana leonara kutuka kwa mama mdogo. USA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...