Bw. Samson Kamalamo anasikitika kutangaza kifo cha Baba yake Mzazi Bw.
Samwel Bulimbe Kamalamo kilichotokea Julai 27, 2013 jijini Dar es Salaam.
Mipango ya Mazishi inafanyika nyumbani kwa marehemu Mikocheni B, Mtaa
wa Daima jijini Dar es Salaam.
Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki popote
walipo. Maziko yanatarajiwa kufanyika katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar
es Salaam Julai 31, 2013. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi,
Amen.
pole sana kwa kufiwa na mzazi wako,nimesoma hilo jina la samsoni kamalamo nimestuka kidogo ,nakumbuka kusoma darasa moja na kamalamo sengerema sekondari,miaka ya 85-88 ,je ni wewe?
ReplyDelete