Ujumbe wa Bandari ya Singapore "Port Authority of Singapore(PSA)" unatembelea Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), pichani ni wakuu wa idara mbalimbali za TPA na viongozi wa PSA wakiwa katika ziara ya Bandari ya Dar Es Salaam. Haya ni matunda ya ziara ya Mhe. Rais Kikwete aliyoifanya nchini Singapore mapema mwaka huu. TPA iko mbioni kuboresha huduma zake kwa kutumia Teknolojia ya kisasa ya TEHAMA (ICT) katika shughuli zote za kibandari, TPA itashirikiana na PSA katika eneo hili pamoja na mafunzo ya marubani, wahandisi na shughuli za utekelezaji(operations).
Home
Unlabelled
Ujumbe wa Bandari ya Singapore(PSA) watembelea TPA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...