Mdau Pastor Uwezo Mwakitalima ambaye pia ni mwanafunzi wa shahada ya kwanza ya Ualimu, akiwa na mai waifu wake Lillian baada ya kumeremeta hivi karibuni katika kanisa la Azania Front jijini Dar es salaam na baadaye kukamilisha mambo kwa mnuso wa nguvu katika ukumbi wa Msimbazi center. Picha na  Michael Angulile

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. mmependeza sana watumishi Mungu awaongoze katika maisha yenu yote.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...