Wageni kutoka CDC/ATLANTA (waliopo katikati) wakiwa katika Picha ya pamoja na Dkt. Zubeda Suleiman wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii (wa kwanza kushoto), wa pili kushoto ni Dkt. Ahmed Makata ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya HVIT Foundation inayoshughulika na Elimu ya Usalama Barabarani na uvaaji wa Kofia ngumu(wa tatu kulia) ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya HVIT Foundation, Bw. Alpherio Nchimbi.
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania Naibu Kamishna wa Polisi Mohamed Mpinga akiwa katika picha ya pamoja na Dkt. Ann Dellinge( wa kwanza kulia) na Dkt. Erin Parker (wa pili kushoto) na mwenyeji wao Dkt. Zubeda Suleiman wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii walipomtembelea ofisini kwake katika ziara hiyo ya tarehe 25/07/2013.

Mkuu wa Utawala wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania Kamishna Msaidizi wa Polisi Johansen Kahatano (wa kwanza kulia akiwa na wageni kutoka CDC/ATLANTA walipomtembelea ofisini kwake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 30, 2013

    Kulia na kushoto ndio wapi????..Hapa hueleweki.Picha ya kwanza Dkt.Zubeda Suleiman umeandika yupo"wa kwanza kushoto", Picha inayofuata umeandika Dkt.Ann Dellinge "wa kwanza kulia" lakini huyu yupo upande ule ule kama aliopo Dkt.Zubeda Suleiman katika picha ya kwanza..!!!.
    Tunapozungumzia upande..huwa tunazungumza kutokana na msemaji anapotazama..

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 30, 2013

    mashaAllah

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...