Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi (katikati) akizungumza jambo na na baadhi ya viongozi wa madhehebu ya dini Mkoa wa Dar es Salaam walipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo.  Kushoto (mbele) ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima. Kulia ni Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja.

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi (katikati) akimsikiliza kwa makini mmoja wa viongozi wa dini (kulia) wa Mkoa wa Dar es Salaam wakati walipokuwa wakijadiliana masuala mbalimbali ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo.


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi akifafanua jambo katika mazungumzo hayo. Picha zote na Felix Mwagara wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...