Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo amefungua mafunzo ya awali kwa mawakili wapya wa serikali wapato 33 kwenye hoteli ya giraffe, Dar-es-salaam. Mambo aliyotilia mkazo ni kuepuka vitendo vya rushwa, kuwatumikia watanzania wa tabaka zote, kufanya kazi kwa juhudi na kutambua ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali sio sehemu ya kufanikisha maslahi binafsi.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali akitoa nasaha wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya awali kwa mawakili wapya wa serikali. Kulia ni Mkurugenzi wa Mashtaka Dkt Eeliezer Feleshi na kulia ni Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Abdulrahman Mdimu
Mwanasheria Mkuu wa Serikali(kushoto) Jaji Frederick M. Werema na Mkurugenzi wa Mashtaka Dkt. Eliezer M. Feleshi wakibalishana mawazo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya awali kwa mawakili wapya wa serikali
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (katikati waliokaa) kwenye picha ya pamoja na viongozi wa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na mawakili wapya wa serikali. Picha na Abuu Kimario



+Jaji+Frederick+M.+Werema+na+Mkurugenzi+wa+Mashtaka+Dkt.+Eliezer+M.+Feleshi+wakibalishana+mawazo+wakati+wa+ufunguzi+wa+mafunzo+ya+awali+kwa+mawakili+wapya+wa+serikali..jpg)
+kwenye+picha+ya+pamoja+na+viongozi+wa+ofisi+ya+Mwanasheria+Mkuu+wa+Serikali+na+mawakili+wapya+wa+serikali..jpg)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...