Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Balozi wa Vietnam aliyemaliza muda wake wa kufanya kazi nchini Mhe Nguyen Duy Thien baada ya kuagana naye Ikulu jijini Dar es salaam jana.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuaga Balozi wa Vietnam aliyemaliza muda wake wa kufanya kazi nchini Mhe Nguyen Duy Thien Ikulu jijini Dar es salaam jana. PICHA NA IKULU.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...